Mambo ya Walawi 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Itakuwa hivyo ili Waisraeli wamletee Yehova dhabihu wanazotolea mashambani, wamletee kuhani dhabihu hizo kwenye mlango wa hema la mkutano. Wanapaswa kumtolea Yehova dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika.+
5 Itakuwa hivyo ili Waisraeli wamletee Yehova dhabihu wanazotolea mashambani, wamletee kuhani dhabihu hizo kwenye mlango wa hema la mkutano. Wanapaswa kumtolea Yehova dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika.+