-
Mambo ya Walawi 3:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 “‘Ikiwa mtu anatoa dhabihu ya ushirika*+ na dhabihu hiyo inatoka kati ya mifugo, awe ni mnyama dume au jike, anapaswa kumtolea Yehova mnyama asiye na kasoro. 2 Anapaswa kuweka mkono wake juu ya kichwa cha mnyama huyo, naye atachinjwa kwenye mlango wa hema la mkutano; kisha wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
-