3“‘Ikiwa mtu anatoa dhabihu ya ushirika*+ na dhabihu hiyo inatoka kati ya mifugo, awe ni mnyama dume au jike, anapaswa kumtolea Yehova mnyama asiye na kasoro.
21 “‘Mtu akimtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kutimiza nadhiri au akiitoa ikiwa toleo la hiari, anapaswa kutoa mnyama asiye na kasoro kutoka katika mifugo yake au kundi lake, ili apate kibali. Mnyama huyo hapaswi kuwa na kasoro yoyote.