Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Ikiwa mtu anatoa dhabihu ya ushirika*+ na dhabihu hiyo inatoka kati ya mifugo, awe ni mnyama dume au jike, anapaswa kumtolea Yehova mnyama asiye na kasoro.

  • Mambo ya Walawi 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Lakini mtu yeyote asiye safi akila nyama ya dhabihu ya ushirika, ambayo ni ya Yehova, ni lazima auawe.+

  • Mambo ya Walawi 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Mtu akimtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kutimiza nadhiri au akiitoa ikiwa toleo la hiari, anapaswa kutoa mnyama asiye na kasoro kutoka katika mifugo yake au kundi lake, ili apate kibali. Mnyama huyo hapaswi kuwa na kasoro yoyote.

  • 1 Wakorintho 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kikombe cha baraka ambacho tunabariki, je, si kushiriki katika damu ya Kristo?+ Mkate ambao tunamega, je, si kushiriki katika mwili wa Kristo?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki