Mambo ya Walawi 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Nayo nafsi inayokula nyama ya dhabihu ya ushirika, ambayo ni ya Yehova, wakati ambapo uchafu wake uko juu yake, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.+
20 “‘Nayo nafsi inayokula nyama ya dhabihu ya ushirika, ambayo ni ya Yehova, wakati ambapo uchafu wake uko juu yake, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.+