Mambo ya Walawi 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ili kwamba wana wa Israeli walete dhabihu zao, wanazozitoa dhabihu katika uwanja,+ nao watazileta kwa Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa kuhani,+ nao watatoa dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika kwa Yehova.+
5 ili kwamba wana wa Israeli walete dhabihu zao, wanazozitoa dhabihu katika uwanja,+ nao watazileta kwa Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa kuhani,+ nao watatoa dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika kwa Yehova.+