Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+

  • 1 Wafalme 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hata Maaka+ nyanya yake, mfalme alimwondoa asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu; kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha,+ akaiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+

  • 2 Wafalme 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akavunja+ vipande-vipande zile nguzo takatifu, akaikata miti mitakatifu na mahali pake akajaza mifupa ya binadamu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akaondoa madhabahu za kigeni+ na mahali pa juu,+ akazivunja nguzo takatifu+ na kuikata miti mitakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki