Kutoka 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+ 1 Wafalme 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hata Maaka+ nyanya yake, mfalme alimwondoa asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu; kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha,+ akaiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+ 2 Wafalme 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akavunja+ vipande-vipande zile nguzo takatifu, akaikata miti mitakatifu na mahali pake akajaza mifupa ya binadamu. 2 Mambo ya Nyakati 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi akaondoa madhabahu za kigeni+ na mahali pa juu,+ akazivunja nguzo takatifu+ na kuikata miti mitakatifu.+
13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+
13 Na hata Maaka+ nyanya yake, mfalme alimwondoa asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu; kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha,+ akaiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+
14 Naye akavunja+ vipande-vipande zile nguzo takatifu, akaikata miti mitakatifu na mahali pake akajaza mifupa ya binadamu.
3 Basi akaondoa madhabahu za kigeni+ na mahali pa juu,+ akazivunja nguzo takatifu+ na kuikata miti mitakatifu.+