Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ikiwa ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako au binti yako au mke wako mpendwa au mwenzako aliye kama nafsi yako mwenyewe,+ atajaribu kukushawishi kwa siri, akisema, ‘Twende tukaitumikie miungu mingine,’+ ambayo hukuijua, wewe wala mababu zako,

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye Asa mfalme+ akamwondoa hata Maaka+ nyanya yake asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu;+ kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha+ na kuiponda na kuiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+

  • Zekaria 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na itatukia kwamba mtu akitoa unabii tena, baba yake na mama yake, waliomzaa, watamwambia pia, ‘Wewe hutaishi, kwa maana umesema uwongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake, waliomzaa, watamchoma kwa silaha kwa sababu ametoa unabii.+

  • Mathayo 10:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Anayempenda baba au mama kuliko mimi hanistahili; naye anayempenda mwana au binti kuliko mimi hanistahili.+

  • Luka 12:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Watagawanyika, baba dhidi ya mwana, mwana dhidi ya baba, mama dhidi ya binti, binti dhidi ya mama yake, mama-mkwe dhidi ya binti-mkwe wake na binti-mkwe dhidi ya mama-mkwe wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki