5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+
13 Na hata Maaka+ nyanya yake, mfalme alimwondoa asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu; kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha,+ akaiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+