13 Hata alimwondoa Maaka+ nyanya yake kutoka katika cheo chake cha mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu chafu sana* kwa ajili ya ibada ya mti mtakatifu.* Asa akaikatakata sanamu hiyo chafu sana+ na kuiteketeza katika Bonde la Kidroni.+