2 Mambo ya Nyakati 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Rehoboamu akamwoa Mahalathi binti ya Yerimothi mwana wa Daudi na wa Abihaili binti ya Eliabu+ mwana wa Yese. 2 Mambo ya Nyakati 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha akamwoa Maaka mjukuu wa Absalomu.+ Baada ya muda akamzalia Abiya,+ Atai, Ziza, na Shelomithi.
18 Kisha Rehoboamu akamwoa Mahalathi binti ya Yerimothi mwana wa Daudi na wa Abihaili binti ya Eliabu+ mwana wa Yese.
20 Kisha akamwoa Maaka mjukuu wa Absalomu.+ Baada ya muda akamzalia Abiya,+ Atai, Ziza, na Shelomithi.