1 Wafalme 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Abiyamu akawa mfalme wa Yuda.+ 2 Mambo ya Nyakati 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha Rehoboamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Abiya+ mwanawe akawa mfalme baada yake. Mathayo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sulemani akawa baba ya Rehoboamu;+ Rehoboamu akawa baba ya Abiya; Abiya akawa baba ya Asa;+
15 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Abiyamu akawa mfalme wa Yuda.+
16 Kisha Rehoboamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Abiya+ mwanawe akawa mfalme baada yake.