2 Mambo ya Nyakati 13:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu, Abiya akawa mfalme wa Yuda.+ 2 Alitawala kwa miaka mitatu huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Mikaya+ binti ya Urieli wa Gibea.+ Na kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.+
13 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu, Abiya akawa mfalme wa Yuda.+ 2 Alitawala kwa miaka mitatu huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Mikaya+ binti ya Urieli wa Gibea.+ Na kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.+