1 Wafalme 15:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Abiyamu akawa mfalme wa Yuda.+ 2 Alitawala kwa miaka mitatu huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Maaka,+ mjukuu wa Abishalomu.
15 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Abiyamu akawa mfalme wa Yuda.+ 2 Alitawala kwa miaka mitatu huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Maaka,+ mjukuu wa Abishalomu.