Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Watu wote nchini walikuwa wakilia kwa sauti kubwa watu hao wote walipokuwa wakivuka ng’ambo ile nyingine, naye mfalme alikuwa amesimama kando ya Bonde la Kidroni;+ watu wote walivuka na kufuata barabara inayoelekea nyikani.

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:16-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mfalme Asa alimwondoa hata Maaka+ nyanya yake kutoka katika cheo chake cha mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu chafu sana* kwa ajili ya ibada ya mti mtakatifu.*+ Asa akaikatakata sanamu hiyo chafu sana, akaipondaponda na kuiteketeza katika Bonde la Kidroni.+ 17 Lakini mahali pa juu hapakuondolewa+ Israeli.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa kamili* maisha yake yote.*+ 18 Naye alileta katika nyumba ya Mungu wa kweli vitu ambavyo yeye na baba yake walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu—fedha, dhahabu, na vyombo mbalimbali.+

  • Yohana 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake, wakavuka Bonde la Kidroni*+ na kufika kwenye bustani, naye akaingia humo pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki