Mathayo 26:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali panapoitwa Gethsemane,+ akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa, mimi naenda pale kusali.”+ Marko 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi wakafika mahali panapoitwa Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+ Luka 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Alipoondoka, kama kawaida yake alienda kwenye Mlima wa Mizeituni, nao wanafunzi pia wakamfuata.+
36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali panapoitwa Gethsemane,+ akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa, mimi naenda pale kusali.”+