39 Alipoondoka, kama kawaida yake alienda kwenye Mlima wa Mizeituni, nao wanafunzi pia wakamfuata.+ 40 Walipofika huko akawaambia: “Endeleeni kusali ili msiingie katika majaribu.”+ 41 Akawaacha na kwenda umbali wa mtupo wa jiwe, akapiga magoti na kuanza kusali,