Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali panapoitwa Gethsemane,+ akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa, mimi naenda pale kusali.”+ 37 Akamchukua Petro na wale wana wawili wa Zebedayo, naye akaanza kuhuzunika na kutaabika sana.+

  • Luka 22:39-41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Alipoondoka, kama kawaida yake alienda kwenye Mlima wa Mizeituni, nao wanafunzi pia wakamfuata.+ 40 Walipofika huko akawaambia: “Endeleeni kusali ili msiingie katika majaribu.”+ 41 Akawaacha na kwenda umbali wa mtupo wa jiwe, akapiga magoti na kuanza kusali,

  • Yohana 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake, wakavuka Bonde la Kidroni*+ na kufika kwenye bustani, naye akaingia humo pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki