Mathayo 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Endeleeni kukesha+ na kusali bila kuacha,+ ili msiingie katika majaribu.+ Bila shaka, roho inataka* lakini mwili ni dhaifu.”+ Marko 14:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Endeleeni kukesha na kusali bila kuacha, ili msiingie katika majaribu.+ Bila shaka, roho inataka,* lakini mwili ni dhaifu.”+ Luka 22:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Akawaambia: “Kwa nini mnalala? Amkeni mwendelee kusali, ili msiingie katika majaribu.”+
41 Endeleeni kukesha+ na kusali bila kuacha,+ ili msiingie katika majaribu.+ Bila shaka, roho inataka* lakini mwili ni dhaifu.”+
38 Endeleeni kukesha na kusali bila kuacha, ili msiingie katika majaribu.+ Bila shaka, roho inataka,* lakini mwili ni dhaifu.”+