Marko 14:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Endeleeni kukesha na kusali bila kuacha, ili msiingie katika majaribu.+ Bila shaka, roho inataka,* lakini mwili ni dhaifu.”+ Waroma 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 lakini ninaona ndani ya mwili wangu* sheria nyingine ikipigana na sheria ya akili yangu+ na kunichukua mateka kwa sheria ya dhambi+ iliyo ndani ya mwili wangu.*
38 Endeleeni kukesha na kusali bila kuacha, ili msiingie katika majaribu.+ Bila shaka, roho inataka,* lakini mwili ni dhaifu.”+
23 lakini ninaona ndani ya mwili wangu* sheria nyingine ikipigana na sheria ya akili yangu+ na kunichukua mateka kwa sheria ya dhambi+ iliyo ndani ya mwili wangu.*