Mathayo 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na usituingize katika majaribu,+ bali utukomboe* kutoka kwa yule mwovu.’+ Luka 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na utusamehe dhambi zetu,+ kwa maana sisi pia humsamehe kila mtu aliye na deni letu;+ na usituingize katika majaribu.’”+ Luka 22:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Akawaambia: “Kwa nini mnalala? Amkeni mwendelee kusali, ili msiingie katika majaribu.”+
4 Na utusamehe dhambi zetu,+ kwa maana sisi pia humsamehe kila mtu aliye na deni letu;+ na usituingize katika majaribu.’”+