Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako tukufu;Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+ Danieli 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ee Yehova, sikia. Ee Yehova, samehe.+ Ee Yehova, sikiliza kwa makini na uchukue hatua. Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jiji lako na watu wako wameitwa kwa jina lako mwenyewe.”+
9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako tukufu;Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+
19 Ee Yehova, sikia. Ee Yehova, samehe.+ Ee Yehova, sikiliza kwa makini na uchukue hatua. Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jiji lako na watu wako wameitwa kwa jina lako mwenyewe.”+