Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 22:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Akawaambia: “Kwa nini mnalala? Amkeni mwendelee kusali, ili msiingie katika majaribu.”+

  • 1 Wakorintho 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakuna majaribu ambayo yamewapata ninyi ila yale yaliyo ya kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu, naye hatawaacha mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na majaribu hayo ataifanya pia njia ya kutokea ili mweze kuyavumilia.+

  • Yakobo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu akiwa chini ya jaribu, asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.

  • Ufunuo 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ulilishika neno kuhusu uvumilivu wangu,*+ mimi pia nitakulinda kutokana na ile saa ya jaribu+ itakayokuja juu ya dunia nzima inayokaliwa, ili kuwajaribu wale wanaokaa duniani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki