Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nazo mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri, ni wale wenye moyo mzuri na mwema,+ ambao baada ya kulisikia neno hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+

  • Luka 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mkivumilia, mtauokoa uhai wenu.*+

  • 2 Timotheo 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+

  • Waebrania 10:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa kuwa mnahitaji uvumilivu,+ ili baada ya kufanya mapenzi ya Mungu, mpokee utimizo wa ile ahadi.

  • Waebrania 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa kweli, mfikirieni sana yule ambaye amevumilia maneno makali kama hayo kutoka kwa watenda dhambi+ kinyume cha faida zao wenyewe, ili msichoke na kukata tamaa.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki