Luka 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkivumilia, mtauokoa uhai wenu.*+ Yakobo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Tunawaona wale ambao wamevumilia kuwa wenye furaha.*+ Mmesikia kuhusu uvumilivu wa Ayubu+ na mmeona matokeo ambayo Yehova* alileta,+ kwamba Yehova* ni mwenye upendo mwororo sana* na mwenye rehema.+
11 Tazama! Tunawaona wale ambao wamevumilia kuwa wenye furaha.*+ Mmesikia kuhusu uvumilivu wa Ayubu+ na mmeona matokeo ambayo Yehova* alileta,+ kwamba Yehova* ni mwenye upendo mwororo sana* na mwenye rehema.+