2 Oneni yote kuwa shangwe, ndugu zangu, mnapopata majaribu mbalimbali,+ 3 mkijua kwamba sifa iliyojaribiwa ya imani yenu hutokeza uvumilivu.+ 4 Lakini acheni uvumilivu ukamilishe kazi yake, ili muwe kamili na timamu katika mambo yote, bila kukosa kitu chochote.+