11 “Wenye furaha ni ninyi, watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa sababu yangu.+ 12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+