Mathayo 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaosikia neno na kulielewa, ambao kwa kweli huzaa matunda, mmoja huzaa mara 100 zaidi, mwingine 60, na mwingine 30.”+ Marko 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwishowe, wale waliopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaolisikiliza neno na kulipokea vizuri na kuzaa matunda—mara 30, 60, au 100 zaidi.”+ Waebrania 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa kuwa mnahitaji uvumilivu,+ ili baada ya kufanya mapenzi ya Mungu, mpokee utimizo wa ile ahadi.
23 Na mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaosikia neno na kulielewa, ambao kwa kweli huzaa matunda, mmoja huzaa mara 100 zaidi, mwingine 60, na mwingine 30.”+
20 Mwishowe, wale waliopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaolisikiliza neno na kulipokea vizuri na kuzaa matunda—mara 30, 60, au 100 zaidi.”+
36 Kwa kuwa mnahitaji uvumilivu,+ ili baada ya kufanya mapenzi ya Mungu, mpokee utimizo wa ile ahadi.