Marko 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwishowe, wale waliopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaolisikiliza neno na kulipokea vizuri na kuzaa matunda—mara 30, 60, au 100 zaidi.”+ Luka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nazo mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri, ni wale wenye moyo mzuri na mwema,+ ambao baada ya kulisikia neno hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+
20 Mwishowe, wale waliopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaolisikiliza neno na kulipokea vizuri na kuzaa matunda—mara 30, 60, au 100 zaidi.”+
15 Nazo mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri, ni wale wenye moyo mzuri na mwema,+ ambao baada ya kulisikia neno hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+