23 Na mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaosikia neno na kulielewa, ambao kwa kweli huzaa matunda, mmoja huzaa mara 100 zaidi, mwingine 60, na mwingine 30.”+
15 Nazo mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri, ni wale wenye moyo mzuri na mwema,+ ambao baada ya kulisikia neno hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+