31 “Simoni, Simoni, tazama! Shetani anataka kuwapata ninyi nyote ili awapepete kama ngano.+32 Lakini nimeomba dua kwa ajili yako ili imani yako isidhoofike;+ nawe utakaporudi, watie nguvu ndugu zako.”+
9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+