Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kisha mfalme akamwita Shimei+ na kumwambia: “Jijengee nyumba Yerusalemu, uishi huko; usitoke huko na kwenda mahali pengine popote. 37 Siku utakapotoka na kuvuka Bonde la Kidroni,+ ujue kwa hakika kwamba utakufa. Damu yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi wakaondoa madhabahu zilizokuwa Yerusalemu,+ wakaziondoa madhabahu zote za kufukizia uvumba+ na kuzitupa katika Bonde la Kidroni.

  • Yohana 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake, wakavuka Bonde la Kidroni*+ na kufika kwenye bustani, naye akaingia humo pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki