29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara nyingi zaidi naye atarithi uzima wa milele.+
26 “Yeyote akija kwangu naye hamchukii baba yake na mama na mke na watoto na ndugu na dada, ndiyo, na hata nafsi+ yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+