Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’

      Hata ndugu zake hakuwatambua,+

      Na wanawe hakuwajua.

      Kwa maana walilishika neno lako,+

      Na agano lako waliendelea kulishika.+

  • Mathayo 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara nyingi zaidi naye atarithi uzima wa milele.+

  • Luka 14:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Yeyote akija kwangu naye hamchukii baba yake na mama na mke na watoto na ndugu na dada, ndiyo, na hata nafsi+ yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki