Kumbukumbu la Torati 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+ Mathayo 10:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Anayempenda baba au mama kuliko mimi hanistahili; naye anayempenda mwana au binti kuliko mimi hanistahili.+ Luka 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna yeyote ambaye ameacha nyumba au mke au ndugu au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu+ Yohana 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+
9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+
37 Anayempenda baba au mama kuliko mimi hanistahili; naye anayempenda mwana au binti kuliko mimi hanistahili.+
29 Akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna yeyote ambaye ameacha nyumba au mke au ndugu au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu+
25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+