Zekaria 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mtu akitoa unabii tena, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Hutaishi, kwa sababu umesema uwongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake waliomzaa watamchoma kisu kwa sababu ya unabii wake.+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 13:3 w07 12/1 11 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:3 Mnara wa Mlinzi,12/1/2007, uku. 116/15/1989, uku. 31
3 Na mtu akitoa unabii tena, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Hutaishi, kwa sababu umesema uwongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake waliomzaa watamchoma kisu kwa sababu ya unabii wake.+