Zekaria 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na itatukia kwamba mtu akitoa unabii tena, baba yake na mama yake, waliomzaa, watamwambia pia, ‘Wewe hutaishi, kwa maana umesema uwongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake, waliomzaa, watamchoma kwa silaha kwa sababu ametoa unabii.+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 13:3 w07 12/1 11 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:3 Mnara wa Mlinzi,12/1/2007, uku. 116/15/1989, uku. 31
3 Na itatukia kwamba mtu akitoa unabii tena, baba yake na mama yake, waliomzaa, watamwambia pia, ‘Wewe hutaishi, kwa maana umesema uwongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake, waliomzaa, watamchoma kwa silaha kwa sababu ametoa unabii.+