33 Naye akaanza kutoa matoleo juu ya ile madhabahu aliyokuwa amejenga Betheli, siku ya kumi na tano katika mwezi wa nane, mwezi ambao yeye mwenyewe alijibunia;+ naye akafanya sherehe kwa ajili ya wana wa Israeli na kutoa matoleo juu ya madhabahu ili kufukiza moshi wa dhabihu.+
7 kwa ajili ya makosa yao wenyewe na kwa ajili ya makosa ya mababu zao wakati uleule,”+ Yehova amesema. “Kwa sababu wamefukiza moshi wa dhabihu juu ya milima, nao wamenishutumu+ juu ya vilima,+ mimi pia nitapima kwanza kabisa malipo yao vifuani mwao.”+
15 Kwa maana watu wangu wamenisahau+ kwa kuwa wanakifukizia moshi wa dhabihu kitu cha ubatili,+ na kwa kuwa wanawakwaza watu katika njia zao,+ mapito ya zamani za kale,+ kutembea katika barabara, njia ambayo haijatengenezwa ikiwa na mafungu,
2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+