Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Naye akaanza kutoa matoleo juu ya ile madhabahu aliyokuwa amejenga Betheli, siku ya kumi na tano katika mwezi wa nane, mwezi ambao yeye mwenyewe alijibunia;+ naye akafanya sherehe kwa ajili ya wana wa Israeli na kutoa matoleo juu ya madhabahu ili kufukiza moshi wa dhabihu.+

  • Isaya 65:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kwa ajili ya makosa yao wenyewe na kwa ajili ya makosa ya mababu zao wakati uleule,”+ Yehova amesema. “Kwa sababu wamefukiza moshi wa dhabihu juu ya milima, nao wamenishutumu+ juu ya vilima,+ mimi pia nitapima kwanza kabisa malipo yao vifuani mwao.”+

  • Yeremia 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana watu wangu wamenisahau+ kwa kuwa wanakifukizia moshi wa dhabihu kitu cha ubatili,+ na kwa kuwa wanawakwaza watu katika njia zao,+ mapito ya zamani za kale,+ kutembea katika barabara, njia ambayo haijatengenezwa ikiwa na mafungu,

  • Hosea 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki