Isaya 65:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa ajili ya makosa yao na kwa ajili ya makosa ya mababu zao pia,”+ asema Yehova. “Kwa sababu wamefukiza moshi wa dhabihu juu ya milimaNao wamenishutumu juu ya vilima,+Kwanza nitawapimia malipo yao kamili.”* Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 65:7 ip-2 376 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 65:7 Unabii wa Isaya II, uku. 376
7 Kwa ajili ya makosa yao na kwa ajili ya makosa ya mababu zao pia,”+ asema Yehova. “Kwa sababu wamefukiza moshi wa dhabihu juu ya milimaNao wamenishutumu juu ya vilima,+Kwanza nitawapimia malipo yao kamili.”*