43 Naye akaendelea kutembea katika njia yote ya Asa baba yake. Hakugeuka kando kutoka katika njia hiyo, kwa kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ Ila tu mahali pa juu hapakuondolewa. Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+