Zaburi 79:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kuwalipa jirani zetu mara saba kifuani mwao+Shutuma yao ambayo wamekushutumu nayo, Ee Yehova.+ 1 Wathesalonike 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+
16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+