Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yehova akamwambia: “Kwa sababu hiyo yeyote anayemuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba.”+

      Hivyo Yehova akaweka ishara kwa ajili ya Kaini ili kwamba yeyote anayemkuta asimpige.+

  • Isaya 65:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Tazama! Imeandikwa mbele zangu.+ Sitakaa kimya,+ lakini nitatoa thawabu;+ nitatoa thawabu vifuani mwao,+

  • Yeremia 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova amesema hivi juu ya jirani zangu wote wabaya,+ wanaogusa fungu la urithi ambalo niliwamilikisha watu wangu, Israeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka katika nchi yao;+ na nyumba ya Yuda nitaing’oa kutoka katikati yao.+

  • Yeremia 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+

  • Luka 6:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, na watu watawapa ninyi.+ Watawamwagia katika mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa pamoja na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi pia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki