14 Yehova amesema hivi juu ya jirani zangu wote wabaya,+ wanaogusa fungu la urithi ambalo niliwamilikisha watu wangu, Israeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka katika nchi yao;+ na nyumba ya Yuda nitaing’oa kutoka katikati yao.+
18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+
38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, na watu watawapa ninyi.+ Watawamwagia katika mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa pamoja na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi pia.”+