3 Israeli alikuwa kitu kitakatifu kwa Yehova,+ zao la kwanza kwake Yeye.”’+ ‘Watu wowote waliomrarua walikuwa wakijiingiza katika hatia.+ Msiba ulikuwa ukija juu yao,’ alisema Yehova.”+
8 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Baada ya utukufu+ amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi;+ kwa maana yeye anayewagusa ninyi+ anaigusa mboni ya jicho langu.+