Mwanzo 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ikiwa Kaini atalipizwa kisasi mara 7,+Basi Lameki ni mara 77.” Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+ Waebrania 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+
35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+
30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+