Mwanzo 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Yehova akamwambia: “Kwa sababu hiyo yeyote anayemuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba.”+ Hivyo Yehova akaweka ishara kwa ajili ya Kaini ili kwamba yeyote anayemkuta asimpige.+ Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
15 Ndipo Yehova akamwambia: “Kwa sababu hiyo yeyote anayemuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba.”+ Hivyo Yehova akaweka ishara kwa ajili ya Kaini ili kwamba yeyote anayemkuta asimpige.+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.