Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 48:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Moabu+ haina sifa yoyote tena. Katika Heshboni+ wamefikiria msiba juu yake: ‘Njooni, tumkatilie mbali asiwe taifa.’+

      “Wewe pia, Ee Madmeni, unapaswa kunyamaza kimya. Upanga unatembea nyuma yako.

  • Yeremia 49:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nami nitafanya king’ora cha vita+ kisikiwe juu ya Raba+ la wana wa Amoni; na hakika yeye atakuwa kilima cha mahame yenye ukiwa,+ na miji yake ya kandokando+ itawashwa katika moto.’+

      “‘Na Israeli atawamiliki wale wanaommiliki,’+ Yehova amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki