Yeremia 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hawamsifu tena Moabu. Kule Heshboni wamepanga njama ya kumwangusha:+ ‘Njooni, tumkomeshe asiwe taifa.’ Wewe pia, ewe Madmeni, unapaswa kukaa kimya,Kwa maana upanga unakufuata.
2 Hawamsifu tena Moabu. Kule Heshboni wamepanga njama ya kumwangusha:+ ‘Njooni, tumkomeshe asiwe taifa.’ Wewe pia, ewe Madmeni, unapaswa kukaa kimya,Kwa maana upanga unakufuata.