Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na vikundi vya watu kwa kweli vitawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watajichukulia hao wawe urithi juu ya udongo wa Yehova wakiwa watumishi wanaume na wakiwa wajakazi;+ nao watawateka+ wale wanaowashika mateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kwenda kazini.+

  • Yeremia 50:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye uwanja wake wa malisho,+ na hakika yeye atalisha juu ya Karmeli+ na juu ya Bashani;+ na katika eneo lenye milima la Efraimu+ na la Gileadi+ nafsi yake itashiba.’”

  • Mika 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako,+ kundi la urithi wako, yeye aliyekuwa akikaa peke yake msituni—katikati ya shamba la matunda.+ Na walishe katika Bashani na Gileadi+ kama katika siku za zamani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki