3 Kwa maana Mordekai Myahudi alikuwa wa pili+ kwa Mfalme Ahasuero naye alikuwa mkuu kati ya Wayahudi na alikubaliwa na wengi wa ndugu zake, akifanya kazi kwa ajili ya mema ya watu wake na kusema amani+ kwa uzao wao wote.
29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+
3 Basi ikawa kwamba Danieli huyo akajipatia sifa+ juu ya wale maofisa wakuu na maliwali, kwa maana roho isiyo ya kawaida ilikuwa ndani yake;+ naye mfalme alikuwa anakusudia kumwinua juu ya ufalme wote.