Zaburi 125:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+ Methali 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaotunga madhara,+ lakini wale wanaoshauri amani wanashangilia.+ Isaya 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Yehova, utatuhukumia amani,+ kwa sababu umetenda kazi zetu zote kwa ajili yetu.+
5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+
20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaotunga madhara,+ lakini wale wanaoshauri amani wanashangilia.+