8Siku hiyo Mfalme Ahasuero alimpa Esta, malkia, nyumba ya Hamani,+ ambaye aliwaonyesha Wayahudi uadui;+ naye Mordekai akaingia mbele ya mfalme, kwa maana Esta alikuwa amesema yeye ni nani kwake.+
3 Na wakuu wote+ wa wilaya za utawala na maliwali+ na magavana na watendaji wa kazi+ za mfalme walikuwa wakiwasaidia Wayahudi, kwa maana walikuwa wameshikwa na hofu+ kwa sababu ya Mordekai.
14 “Na wana wa wale wanaokutesa watakuja kwako, wakiwa wanainama;+ na wale wote wanaokuvunjia heshima watainama penye nyayo za miguu yako,+ nao watakuita wewe jiji la Yehova, Sayuni+ wa Mtakatifu wa Israeli.