Zaburi 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+ Zaburi 87:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, Ee jiji la Mungu wa kweli.+ Sela. Isaya 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hakika watu watawaita wao kuwa watu watakatifu,+ wale waliokombolewa na Yehova;+ na wewe mwenyewe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa Kabisa.+ Waebrania 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni+ na jiji+ la Mungu aliye hai, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika,+
2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+
12 Na hakika watu watawaita wao kuwa watu watakatifu,+ wale waliokombolewa na Yehova;+ na wewe mwenyewe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa Kabisa.+
22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni+ na jiji+ la Mungu aliye hai, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika,+