Mathayo 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa maana kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa;+ na kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi.+ Marko 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Tena akawaambia: “Sikilizeni kwa makini mambo ambayo mnasikia.+ Kwa kipimo mnachopimia, mtapimiwa hicho,+ ndiyo, mtaongezewa zaidi.+
24 Tena akawaambia: “Sikilizeni kwa makini mambo ambayo mnasikia.+ Kwa kipimo mnachopimia, mtapimiwa hicho,+ ndiyo, mtaongezewa zaidi.+